may usiku wa Jumanne mwenyekiti wa kampeni ya Clinton, John Podesta aliwataka mamia ya mashabiki walokusanyika katika ukumbi mjini New York kurudi nyumbani na kwamba mgombea wao hatazungumza mfupi baadae mgombea mwenza wa chama wa Trump Mike Pence amewashukuru wafuasi na kumkaribisha rais mteule wa 45 wa marekani.
Hii ikiwa ni tukio la kihistoria Marekani kwa mtu ambae hajawahi kushika nafasi au wadhifa wowote wa serikali kuchaguliwa kuliongoza taifa kuu la duniaTrump akiwahutubia wafuasi hao huko New York amesema Hillary amermpigia simu na kumpongeza. Mfanyabiashara huyo ametoa wito kwas wamarekani wa pande zote kuungana na kufanya kazi pamoja.