AUDIO: Aliyefutiwa usajili wa chama chake atupia maneno Makali kwa Msajili

Moja ya habari kubwa zilizoshitua leo ni uamuzi wa msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Francis Mutungi kuvifutia usajili vyama vitatu vya siasa

Peter Mziray ni miongoni mwa viongozi wakubwa wa chama kilichofutiwa usajili, ambaye amenukuliwa na mtandao huu akihojiwa na kituo cha televisheni cha AZAM TV akitupa lawama zake kwa msajili huyo kuwa hajatenda haki, na kuna mengine ameyafumbia macho na amelikazania hilo tu

Sikiliza mahojiano hayo hapa chini


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo