VIDEO: Rais alivyonaswa na kamera akiwa amelala wakati wa hotuba ya bajeti

Wananchi wa  Afrika Kusini jana October 26 2016 walikuwa wakifuatilia kwa makini kile ambacho kilikuwa kinaendelea bungeni ambapo Waziri wa Fedha wa nchi hiyo, Pravin Gordhan alikuwa akisoma hotuba ya bajeti.
Sasa leo asubuhi October 27 2016 wananchi wa Afrika Kusini wameamka na habari kuwa Rais wao alilala katikati ya Hotuba ya saa moja na dakika 14 iliyokuwa ikisomwa na waziri wa fedha Pravin Gordhan, kamera zilimnasa Rais Jacob Zuma akiwa amelala, unaweza kungalia video hii hapa chini


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo