Kipigo Cha Yanga chapelekea Wachezaji wa Kagera Sugar Kusimamishwa Kazi

Klabu ya Kagera Sugar ya Bukoba leo October 27 2016 imeripotiwa na kituo cha Azam TV kutangaza kuwasimamisha wachezaji wake wawili kwa tuhuma za kuhujumu timu hiyo wakati wa mchezo dhidi ya Yanga, uliomalizika kwa Kagera kufungwa goli 6-2.
Kagera Sugar imeripotiwa kuwasimamisha wachezaji wake wawili ambao ni golikipa Hussein Shariff na beki Eric Kiaruzi ambaye alisababisha kufungwa kwa goli la tano na Obrey Chirwa wa Yanga, hiyo ilikuwa baada ya kurudisha mpira nyuma kwa golikipa David Buruhani lakini ukanaswa na mshambuliaji wa Yanga Donald Ngoma.
CHANZO: Azam TV


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo