Mkuu wa Mkoa wa Njombe alivyotua Makete, jionee Picha hizi

 Mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi(kulia) akiwasili kwenye viwanja vya shule ya Msingi Usungilo kata ya Mang'oto wilayani Makete mkoani Njombe wakati akikagua maendeleo ya utekelezaji wa TASAF awamu ya tatu, kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Makete Mh Daudi Yassin
Mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi akisalimiana na Mratibu wa TASAF wilaya ya Makete Jackline Mrosso
 Kutoka kushoto Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete Mh. Egnatio Mtawa, Mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi na mkuu wa wilaya ya Makete Mh Daudi Yassin
 Mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi akizungumza na wanufaika wa mradi wa TASAF awamu ya tatu katika kijiji cha Usungilo wilayani makete
 Mnufaika wa TASAF awamu ya tatu akizungumza jinsi alivyonufaika


 Maarufu kwa jina la Bob Marley naye hakuwa nyuma kuelezea mafanikio ya TASAF awamu ya tatu


 Mkuu wa wilaya ya Makete Mh Daud Yassin akifafanua jambo kwenye ziara hiyo ya mkuu wa mkoa
 Mkuu wa mkoa wa Njombe Mh Dkt Rehema Nchimbi akimuagiza jambo Afisa Tarafa ya Lupalilo Bw Kyando
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Makete Mh Egnatio Mtawa akitolea ufafanuzi wa baadhi ya mambo yaliyoagizwa na mkuu wa mkoa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo