ZARI AMPOKEA DIAMOND KWA SHANGWE UGANDA JANA


Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Uganda jana.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady wakiondoka Uwanja wa Ndege wa…
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Uganda jana.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady wakiondoka Uwanja wa Ndege wa Uganda.
Diamond Platnumz akiwa na Zari the Boss Lady kwenye pozi.
Diamond Platnumz na Zari wakipigwa picha na wanahabari.
Diamond Platnumz na Zari wakijiandaa kuongea na wanahabari jana.
Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani).
STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' ameondoka Tanzania jana mchana na kuelekea Uganda kwaajili ya hafla ya Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady inayoitwa ZariAllWhiteCirocParty inayofanyika Kampala.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo