PICHA ZA MTU ALIYEKUTWA AMEKUFA KANDOKANDO YA MTO ILOLO JIJINI MBEYA


    mwili wa marehemu huyo ukiwa kando ya mto huo.

Asubuhi Ya leo mtu mmoja amekutwa kando kando ya mto wa ilolo uliopo  jijini mbeya akiwa amepoteza maisha,haijafahamika mpaka sasa ni kitu gani kilichomsibu mtu huyo mpaka kufukwa na mauti hayo. mpaka sasa hakuna alieweza kumtambua mtu huyo haifahamiki kuwa ni mkazi wa wapi.Kumradhi kwa picha
BONYEZA HAPA UONE PICHA ZAIDI


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo