BASI LAGONGANA NA COASTER HUKO TUNDUMA

Wananchi wakiwa eneo la Sogea, Tunduma ilipotokea ajali ya basi na Coaster.

WATU kadhaa wamejeruhiwa katika ajali iliyolihusisha Basi la Shalom Express lililokuwa likitokea Sumbawanga - Mbeya lililogonga Coaster iliyokuwa inatokea Mbeya- Tunduma eneo la Sogea, Tunduma jioni ya leo. Coster lilikuwa likijaribu ku-overtake lori ndipo lilipogongwa na basi hilo.

Idadi kamili ya majeruhi wa ajali hiyo bado haijafahamika.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo