Mrembo na muigizaji wa filamu , Rose Ndauke ambae ni mama wa mtoto
mmoja , ameleza kwajinsi gani anavyo mpenda mtoto wake na humfanya awe
na furaha wakati wote japokuwa anamlea mtoto peke yake kama “single
mother” baada ya kuachana na aliekuwa mchumba wake ambae ndio baba
wamtoto huyo.
Akionakana mwenye tabasamu pana akiwa amembeba mtoto wake rose alisema;
“Sasa nikiwa nae nachekaje mpaka jino mwisho nakupenda mwanangu na ndio mchizi wanguuuuu”.