JAY REE; MTANGAZAJI WA MSIMU MPYA WA THE CHART YA 100.5 TIMES FM ANAYEFANYA VIZURI

Kipindi cha The Chart cha 100.Times Fm kinachocheza nyimbo 20 bora kila Jumamosi kuanzia saa 4 kamili asubuhi hadi saa 6 mchana kimeanza msimu mpya na mtangazaji mpya, Julian Ishungisa aka Jay Ree.

Jay Ree ambaye ameshafanya show hiyo tangu mwezi uliopita amekuwa akifanya vizuri kila wiki akiwa na habari kali na mahojiano ya wasanii wakubwa duniani kote juu ya nyimbo kubwa zinazofanya vizuri.

Kabla ya kujiunga na Times Fm, Jay Ree alikuwa akifanya kazi katika radio moja kubwa mjini Iringa.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo