SOGGY DOGGY AONDOKA EBONY FM NA KUHAMIA EFM DAR ES SALAAM

Mtangazaji wa redio na rapper mkongwe, Anselm Ngaiza aka Soggy Doggy amehamia kwenye kituo cha redio cha EFM cha Dar es Salaam akitokea Ebony ya Iringa. 

Soggy amefanya kazi kwa miaka kadhaa akiwa kama mkurugenzi wa vipindi wa Ebony FM hiyo inayosikilizwa zaidi kwenye mikoa ya nyanda za juu za kusini. 

Rapper huyo ametweet: 

Soggy amewahi kufanya kazi kwenye vituo vingine vya redio vikiwemo Triple A ya Arusha na Radio Free Africa ya Mwanza.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo