WATU watatu waliokuwa wakitembea kwa mguu wamepoteza maisha papo hapo
baada ya kugongwa na gari dogo lililopoteza mwelekeo mkoani Njombe
usiku wa kuamkia leo.
Gari dogo baada ya kuligonga lori la mafuta.
Gari hilo lilipoteza uelekeo baada ya kumulikwa na lori la mafuta
lililokuwa mbele yake na kuwagonga watu hao kisha kulivaa hilo lori na
kuharibika vibaya. Watu waliokuwa ndani ya lori hilo wamejeruhiwa
vibaya.
Lori la mafuta baada ya ajali.
(PICHA ZOTE NA GLOBAL
