Gari limegonga mlango wa kioo wa Benki ya CRDB, mkoani Morogoro. Taarifa
zinasema kuwa dereva huyo alikuwa anataka kurudi nyuma kumbe alibonyeza
sehemu ya kuendeshea ndo akaishia kuingia CRBD bila hodi. Picha na
Taarifa News.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi