BREAKING NEWS: WASANII WA BONGO MOVIE WAPATA AJALI YA GARI WAKITOKEA DODOMA...!

Taarifa tulizozipata hivi punde: Wasanii Stevie Nyerere, Shamsa Ford (PICHANI) na Simple wamepata ajali maeneo ya jirani na Chalinze wakiwa njiani kwenda Dar wakitokea mjini Dodoma katika show kubwa iliyofanyika last weekend...! Taarifa za awali zinaarifu kuwa chanzo cha ajali hiyo ni kupasuka kwa matairi mawili ya gari hilo...Taarifa zaidi endelea kufuatilia hapa....!


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo