Hii ni hali halisi iliyopo jijini Tanga ambapo mvua kubwa zinazonyesha huko zimesababisha hali kuwa mbaya, maji kujaa kwenye nyumba za watu kama picha hizi zinavyoonesha.
Hili ni eneo la Magaoni tairi tatu ambalo ni miongoni mwa maeneo yaliyoathiriwa na mvua zinazonyesha jijini Tanga. Picha hizi ni kwa mujibu wa mdau wa Eddy Blog WhatsApp
Kama na wewe una tukio kama hili ama lingine tutumie kupitia WhatsApp +255 713 836 935



