BREAKING NEWS: MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU DAR (UDSM) AFARIKI DUNIA GHAFLA AKIWA AMEPUMZIKA JIONI HII

Taarifa ambazo zimetufikia kwenye chumba cha habari muda huu ni kwamba mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam amefariki dunia ghafla akiwa amelala

Mwanafunzi huyo aliyetambulika kwa jina la Sakabenga amefariki akiwa amepumzika chumbani kwake na sababu za kifo hicho hazijajulikana

Mwili huo wa marehemu tayari umechukuliwa na umepakiwa kwenye gari tayari kwenda kuhifadhiwa

Tutazidi kuwajulisha endelea kufuatilia www.edwinmoshi.com


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo