
Corazon Kwamboka ambaye ni mwanasheria
by profession, ameiteka blogsphere ya Kenya kwa umbo lake matata na
kuvutia kama la Agnes Masogange.
Hii imewafanya wasichana wengi wa Kenya wamuonee wivu na kumsema vibaya.
Pamoja na kuwatoa wanaume udenda kwa umbo lake, producer wa B Hits,
Hermy B, amekuwa mwanaume mwenye bahati kwakuwa amezimiwa na mrembo huyo
aliyeamua kuweka wazi kwenye Instagram.
"Before Monday ends.. here is my real crush MCM. Hermes aliandika
mrembo huyo Jumatatu hii.
Hermy
Tazama picha zaidi na mrembo huyo.