Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye akizungumza na Mwenyekiti
wa UWT Kata ya Ubena Jesca Daudi ambaye alivunjwa mkono na Viongozi wa
CUF waliovamia ofisi ya kata kwenye kijiji cha Tokamisasa.
Katibu CCM wa Wilaya ya Mufindi Miraji Mtaturu akizungumzia tukio lililomkuta Mwenyekiti wa UWT Kata ya Ubena Jesca Daudi ambaye alivunjwa mkono na Viongozi wa CUF waliovamia ofisi ya kata kwenye kijiji cha Tokamisasa kuwa ni kitendo cha kinyama na cha kupingwa kwa nguvu zote na kitendo hicho kimemvua sifa za kuwa mgombea ubunge wa CUF.
Katibu CCM wa Wilaya ya Mufindi Miraji Mtaturu akizungumzia tukio lililomkuta Mwenyekiti wa UWT Kata ya Ubena Jesca Daudi ambaye alivunjwa mkono na Viongozi wa CUF waliovamia ofisi ya kata kwenye kijiji cha Tokamisasa kuwa ni kitendo cha kinyama na cha kupingwa kwa nguvu zote na kitendo hicho kimemvua sifa za kuwa mgombea ubunge wa CUF.