skip to main |
skip to sidebar
HIVI NDIVYO SHILOLE, MADEE,NA QUEEN DARLEEN WALIVYOWADATISHA WANA IGUNGA VALENTINE'S DAY, ANGALIA HAPA

Shilole na Madee wakiwadatisha wakazi wa Igunga kabla ya shoo ya Valentine's Day.
Shilole (kushoto) na Queen Darleen (kulia) wakisema na wana Igunga.

Shilole, wacheza shoo wake na Queen Darleen wakizidi kuwapa raha mashabiki kabla ya shoo yao usiku wa Wapendanao.


Wasanii Zuwena Mohamed 'Shilole' au Shishi Baby, Hamadi
Ally 'Madee' na Queen Darleen waliwadatisha vilivyo wakazi wa Igunga
mjini siku ya Wapendanao 'Valentine's Day' kabla ya shoo yao
iliyofanyika Ukumbi wa Sakao uliopo Igunga Mjini.PICHA ZOTE NA GPL
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi