WANAMUZIKI WITNESS ATANGAZA RASMI NIA YA KUINGIA BONGO MOVIE..JIONEE KAZI ATAKAYOANZA NAYO

Msanii wa kike ambae anafanya Muziki wa Hiphopa Hapa nchini, Witness Leo kupitia ukurasa wake wa Facebook ametangaza Rasmi kujikita katika Bongo Movie na Kazi ambayo ataanza kuifanya katika tasnia Hiyo, Zaidi Rapper huyo amefunguka Hapo Chini .....

“Tsup ma pipoo ninatangaza Rasmi ya kwamba this year mbali na shughuli za kimuziki pia nitakuwa ninaigiza na kwa kuanza nitakuwepo kwenye Tamthilia inayo itwa Salt en sugar ni Tamthilia inayoigizwa na wabongo ila kwa kutumia Lugha ya kiingereza mwanzo mwisho, na kuanzia next week Nitaanza Tour ya mashuleni ambapo tutaanza na Dr Didas pamoja na St anthony


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo