MWANASIASA ALIYEMFANANISHA RAIS WA ZAMBIA NA KIAZI ASHTAKIWA

Mwanasiasa mmoja wa upinzani nchini ‪#‎Zambia‬ ameshtakiwa kwa kosa la kumharibia sifa rais wa nchi hiyo kwa kumfananisha na kiazi. 

Mwanasiasa huyo Frank Bwalya akikutwa na hatia anakabiliwa na kifungo cha miaka mitano jela.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo