Mwanasiasa mmoja wa upinzani nchini #Zambia
ameshtakiwa kwa kosa la kumharibia sifa rais wa nchi hiyo kwa
kumfananisha na kiazi.
Mwanasiasa huyo Frank Bwalya akikutwa na hatia
anakabiliwa na kifungo cha miaka mitano jela.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi