HUKUMU YA ZITTO: Kwa sasa bado hukumu haijaanza kusikilizwa lakini kuna
vurugu nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kati ya kikundi cha
Zitto na kile kinachompinga ambavyo vinarushiana mawe na polisi
wanajaribu kukabiliana nao!
Taarifa zaidi utazidi kuzipata hapa hapa
