Kwa sasa kuna hali ya utulivu baada
ya polisi kufanikiwa kukabiliana na makundi mawili yaliyokuwa
yakirushiana mawe nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
Anayesubiriwa muda huu ni jaji afike ili hukumu iendelee!
HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO ALHAMISI JULAI 23,2026
7 hours ago