AJALI IRINGA MTEMBEA KWA MIGUU AGONGWA NA TAXI ENEO LA TAKRIMA MJINI IRINGA USIKU WA KUAMKIA LEO

 Mmoja  kati  ya  wauguzi  ktk  Hospitali ya  rufaa ya  mkoa wa Iringa Grolia akimsaidia majerehu  God Loid kuingia  wodini  baada  ya  kufikishwa  Hospitalini hapo na  msamaria  mwema kulia  ambae  alimuokota kijana  huyo na  kumkimbiza  Hospital hapo baada  ya  kugongwa na  gari  lililokuwa  likiendeshwa na  rafiki wa  majeruhi huyo ambae  alikimbia  baada ya  tukio usiku wa leo
wauguzi wakisaidiana  kuupatia  matibabu mguu  uliogongwa ambao umevunjika 

habari/picha kwa hisani ya matukiodaima.com


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo