JB AANDIKA UJUMBE MZITO HII LEO KUADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA


"...Namshukuru sana Mungu kwa kunilinda mpk kufika siku ya leo. Kwa akili na uwezo wangu nisongeweza ila kwa uwezo wake Mungu hata leo hii nipo salama.

Ni mengi nimepitia lakn mkono wa Mungu u juu yangu ndio maana leo nipo kaama nilivyo.Nawashukuru sana wazazi wangu kwa kunizaa,mke wangu kipenzi Irene Makeula kwa kunilea kwa kila hali asante sana moyo wangu queen irene nakupenda sana.

Pia kwa nafasi ya kipekee sana nawashukuru sana mashabiki wangu wote kwa kufatilia kazi zangu na kuwa pampja nami begakwabega ktk shughuli zote zinazofanya nathamini sana mchango wenu Mungu wangu awabariki sana.Asanteni wote ambao kwa namna moja au nyingine mmechukua nafasi yenu kunitakia kheri kwa siku yangu hii ya kuzaliwa Mkono wa bwana usiwapungukie..."

Happy birthday JB, Mungu akupe maisha marefu yenye mafanikio


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo