PICHA MBALI MBALI KUTOKA BUNGENI JANA MJINI DODOMA

  Waziri Mkuu alieyejiuzulu ambae pia ni Mbunge wa Monduli CCM,Edward Lowasa,(kushoto) wakifurahia jambo wakati wa mazungumzo yao na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,Alex Msama, walipokutana nje ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma,mara baada ya kuahirishwa kwa kipindi cha maswali na majibu.
  Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera uratibu na bunge,William Lukuvi(kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,Alex Msama(kulia) walipokuwa wakizungumza jambo.
 Mbunge wa Msalala,CCM,Ezekiel Maige,(katikati) wakibadilishana mawazo kuhusu changamoto mbalimbali za kisiasa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,Alex Msama walipokutana kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma,(kushoto) ni Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila.
 Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Profesa Anna Tibaijuka(kushoto) akifurahia kukutana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,Alex Msama,nje ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma,, (katikati)ni Naibu Waziri wa wizara hiyo Gudluck Ole Medeye.
 Spika wa Bunge Anne Makinda,(kulia)akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,Alex Msama (kushoto) alipotembelea bungeni ili kukutana na viongozi mbali mbali wa vyama vya siasa na Serikali.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala bora, George Mkuchika(kushoto)akiagana kwa msisitizo na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions,Alex Msama(kulia).Msama ambae ni mdau mkubwa wa mambo ya siasa na Muziki wa Injili alitembelea bungeni mjini Dodoma ili kukutana na viongozi wa Vyama vya siasa na Serikali,bunge linaendelea na vikao vyake.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo