BREAKING NEWS: BASI LA HOOD LA MBEYA ARUSHA LAPATA AJALI MBAYA MOROGORO





Kuna aliyebanwa hapa...
Zinafanyika jitihada za kuchimba kumwokoa.Inasikitisha na kutia matumaini kumwona aliyebanwa kuanzia kiuno kwenda miguuni naye anajitahidi kuchimba kwa mikono. Ajali hii nimeikuta muda mfupi baada yaimetokea saa moja na nusu iliyopita maeneo ya Melela. Km 30 kutoka Morogoro. Bus la Hood kutoka Mbeya kuelekea Arusha ndilo lililopata ajali.

Kwa hisani ya Maggid Mjengwa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo