skip to main |
skip to sidebar
CHADEMA YANYAKUA KITI CHA NAIBU MEYA ARUSHA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeshinda uchaguzi mdogo wa kiti cha unaibu Meya wa Jiji la Arusha.
Mgombea
wa CHADEMA, Diwani wa Daraja Mbili, Prosper Msofe, alichaguliwa kushika
nafasi hiyo, baada ya kupata kura 25, kati ya kura 28, huku mbili
zikisema hapana, na moja ikiharibika.
Chama cha Mapinduzi (CCM)
hakikusimamisha mgombea, huku TLP yenye Diwani mmoja, Michael Kivuyo
aliyetangaza kugombea aliamua kujitoa kabla uchaguzi kufanyika. ---
via Lukwangule blog.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi