Gari
aina ya Land cruiser mali ya chuo cha SUA cha mjini Morogoro kama
linavyoonekana baada ya kupigwa mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni
majambazi nje kidogo ya mji wa Singida.
Kesi
inayowakabili washitakiwa watano walioteka gari la chuo cha SUA mjini
Morogoro na kunyang’anya zaidi ya shilingi 19.8 milioni, hukumu yake
inatarajiwa kutolewa kesho na mahakama ya wilaya ya Singida. Utekaji huo
ulifanyika Desemba sita mwaka jana saa saba na nusu usiku kwenye
barabara kuu ya Dodoma – Singida eneo la Kisaki manispaa ya Singida.
Hudumu
wa chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa mjini Singida
ambaye jina lake halikuweza kutambuliwa mara moja,akiliweka sawa Jeneza baada
ya kufanyiwa ukarabati kufuatia kubomolewa na majambazi na kulisachi.
picha na singida yetu blog


