PICHA ZA GARI LA MAITI LILILOTEKWA NA KUHARIBIWA VIBAYA

 Gari aina ya Land cruiser mali ya chuo cha SUA cha mjini Morogoro kama linavyoonekana baada ya kupigwa mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi  nje kidogo ya mji wa Singida.
 Kesi inayowakabili washitakiwa watano walioteka gari la chuo cha SUA mjini Morogoro na kunyang’anya zaidi ya shilingi 19.8 milioni, hukumu yake inatarajiwa kutolewa kesho na mahakama ya wilaya ya Singida. Utekaji huo ulifanyika Desemba sita mwaka jana saa saba na nusu usiku kwenye barabara kuu ya Dodoma – Singida eneo la Kisaki manispaa ya Singida.
Hudumu wa chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa mjini Singida ambaye jina lake halikuweza kutambuliwa mara moja,akiliweka sawa Jeneza baada ya kufanyiwa ukarabati kufuatia kubomolewa na majambazi na kulisachi.
 
picha na singida yetu blog


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo