skip to main |
skip to sidebar
BREAKING NEWS: MKUU WA POLISI WILAYA YA KILINDI TANGA APIGWA RISASI
Mkuu wa Kituo cha Polisi Wilaya ya Kilindi Mkoani Tanga Inspekta
Nsekelo amejeruhiwa vibaya kwa kupigwa risasi na kundi la watu
wasiojulikana waliokuwa wanafanya mazoezi ya kijeshi katika vijiji vya
Lolagana na Mwambe baada ya kutokea mapambano baina ya kikundi hicho na
polisi.
Taarifa zaidi zitakujia haha hapa EDDY BLOG baadaye kidogo
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi