CCM MAKETE YAFANYA ZIARA YAKUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA MKUTANO WA HADHARA KWENYE KATA YA MLODWE

 Katibu wa CCM wilaya ya Makete Miraji Mtaturu (mwenye shati la kijani) akikagua ujenzi wa daraja katika kijiji cha makusi kata ya Mlondwe wilayani Makete wakati walipofanya ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo katani humo

 katibu Miraji Mtaturu akipata maelezo ya miradi ya maendeleo kata ya Mlondwe Kutoka kwa diwani wa kata hiyo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo