JANUARI MAKAMBA ATOA SOMO KWA WANA CCM WA VYUO DAR

 MWENYEKITI wa makada wa vyuo vikuu mkoa wa vyuo wilaya ya Dar es salaam, Ndugu Asenga Abubakar, akifungua kongamano maalum la makada, wapenzi na wa mashabiki wote wa CCM ambao wapo vyuoni, lilofanyika leo Karimjee Jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya mahafali ya kuwaaga wanachama wenzao wanaomaliza vyuo mwaka huu wa 2013 mkoa wa Dar es salaam. Kishoto ni Katibu wa CCM wilaya ya Vyuo Dar es Salaam, Daniel Zenda.
 Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia, Januari Makamba akizungumza kwenye kongamano hilo.
Wajumbe waakiwa kwenye kongamano hilo leo (Picha zote na BASHIR NKOROMO


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo