AJALI YA LORI YAUA TABORA

ONYO: picha hizi za chini zinatisha


MHUDUMU WA CHUMBA CHA MAITI KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA TABORA AKIMHUDUMIA KWA AJILI YA MAZISHI
MWENDESHA BAISKELI MJINI TABORA MAARUFU KAMA DALADALA ALIYEJULIKANA KWA JINA LA DOTO AMEFARIKI DUNIA KATIKA MAZINGIRA YA KUTATANISHA ALIPOKUWA AMELISHIKILIA LORI HILO LILILOKUWA KATIKA MWENDO WAKE WA KAWAIDA LILIPORUKA KWENYE TUTA ENEO LA IPULI SHULE YA MSINGI MANISPAA YA TABORA NAYE AKAINGIA KWENYE GURUDUMU LA NYUMA NA KUKANYAGWA UTUMBO UKAMWAGIKA NA KUFA PAPO HAPO.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright 2025 EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo