WAZIRI MKUU PINDA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA WAZIRI WA ZAMANI WA TANZANIA

 Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiweka saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Waziri wa zamani wa serikali ya Muungano wa Tanzania, Alfred Tandau, nyumbani kwa marehemu, Magomeni jijini Dar es salaam, Mai 2,2013.
Waziri Mkuu mh. Mizengo Pinda akizungumzana  na mtoto wa kwanza wa Waziri wa Kwanza wa Serikali ya Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania, Julius Tandau wakati alipokwenda kuhani msiba  wa Waziri  huyo wa zamani aliyefariki dunia hivi karibuni, nyumbani kwa maremu, Magomeni jijini Dar es salaam Mei 2, 2013.Picha na Ofis ya Waziri Mkuu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo