AFISA UTAMADUNI JIJI LA TANGA AKAGUA KAMBI YA TAIFA YA MISS UTALII TANZANIA 2012/13 JIJINI TANGA

Afisa Utamaduni Jiji la Tanga, Peter Semfuko (katikati), Matron Hilda Mwinyi (kulia), na Mratibu wa kamati ya maandalizi Kessy Salum Mbasha (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa fainali za taifa za Miss Utalii Tanzania 2013, alipokwenda kukagua kambi na kuzungumza na warembo hao jana katika hoteli ya Mwambani Tanga Beach. 
4
Afisa Utamaduni Jiji la Tanga, Peter Semfuko (katikati), Mjumbe wa Kamati ya maandalizi na Mbunifu wa Mavazi ya warembo Aisha Khoja toka Kokoriko Designer, (kulia) na Mbunifu wa mavazi Edina Katarai ambaye pia ni mjumbe wa kamati ya maandalizi (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa fainali za taifa za Miss Utalii Tanzania 2013, alipokwenda kukagua kambi na kuzungumza na warembo hao jana katika hoteli ya Mwambani Tanga Beach.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo