SAKATA LA MRADI WA MAJI UNAODAIWA KUWA FEKI KIJIJI CHA NDULAMO MAKETE

Muonekano wa kijiji cha Ndulamo
Afisa Mtendaji wa kijiji cha Ndulamo Bw. Majuto Mbwilo akimuonesha mpiga picha wetu jinsi maji yanavyovuja kutokana na mabomba yanayodhaniwa kutumika kuwa feki
Maji yakivuja kutokana na mabomba yanayodaiwa kuwekwa ni feki
kila baada ya hatua chache mabomba yanavuja
 Hili ni bomba halisi ambalo lilinunuliwa na Kijiji na kufungwa kwenye mradi huo, na halijapasuka wala kuvuja
Viungio ambavyo navyo vinasadikika kuwa feki navyo vinavujisha maji
 Hali halisi ndiyo hii
 Ni mwendo wa kufumuka mwanzo mwisho
Wakazi hao waliofuatana na mtendaji wao wa kijiji wakimuonesha mwanahabari wetu hali halisi ya jinsi mabomba hayo yanavyofumuka


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo