Familia ya Kanumba inawakaribisha katika kumbukumbu ya mwaka mmoja
wa kifo cha marehemu Steven Kanumba itakayofanyika Leaders Club
Jumapili hii tarehe 7 /04/ 2013 kuanzia saa 8 mchana.
Kutakuwa
na uzinduzi wa muvi ya mwisho kufanywa na marehemu. Pia itaoneshwa kwa
mara ya kwanza preview ya muvi iitwayo After death (Never happened
before) iliyoandaliwa na Jackline Wolper kwa ajili ya kumuenzi marehemu
Kanumba.
Kutasindikizwa na Twanga Pepeta na wachekeshaji maarufu
Tanzania.KIINGILIO NI BURE. MSIKOSE TUMUENZI NDUGU YETU.
