KAMATI YA KUSIMAMIA OFISI ZA VIONGOZI WAKUU WA KITAIFA YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR YATEMBELEA JESHI LA POLISI.

 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali Said Mwema (kushoto) akimsalimia mjumbe wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Kamati hiyo ilifanya ziara Makao Makuu ya jeshi hilo yaliyopo jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali ya jeshi hilo.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali Said Mwema (wa tatu kutoka kushoto) akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Kamati hiyo ilifanya ziara Makao Makuu ya jeshi hilo yaliyopo jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali ya jeshi hilo.
 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali Said Mwema akiwafafanulia  jambo wajumbe wa Kamati ya Kusimamia Ofisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Kamati hiyo ilifanya ziara Makao Makuu ya jeshi hilo yaliyopo jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali ya jeshi hilo.

PICHA ZOTE NA:KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo