JAMANI WILAYA YA MAKETE INAVIVUTIO VIZURI

Katika pitapita zangu leo nimebahatika kupita barabara ya Matamba-Mfumbi ambapo nimekutana na mandhari hii nzuri ya miti ya asili katika eneo hili lililopo tarafa ya Matamba wilayani Makete na ukiangalia vizuri utaona maporomoko marefu ya maji kwa mbali, ambayo yanazidi kuipendezesha wilaya ya Makete, kwa kweli inapendeza sana

wageni karibuni Makete na pia wenyeji wa makete jijengeeni utaratibu wa kutembelea maeneo kama haya ili kujionea mengi, maana utunzaji wa mazingira nao umechangia hali hii ionekane


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo