CHAMA CHA CORD KUTINGA MAHAKAMANI KESHO KUPINGA USHINDI WA KENYATA

 
CHAMA cha coalition for reform and democracy cord kesho kitawasilisha pingamizi katika mahakama kuu kupinga matokeo ya kura ya urais yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta.
Mwanasheria wa chama hicho James Orengo amewaambia waandishi wa habari jijini Nairobi kuwa, uamuzi wa kuahirisha kuwasilisha pingaminizi hilo leo na badala kufanya hivyo kesho ni wa kimkakati.

Orengo, ambaye pia ni waziri wa ardhi amesema, watu wengi wamefungua kesi kwenye mahakama hiyo, hivyo uamuzi wa kuwasilisha pingamizi lao kesho unalenga kuhakikisha kuwa kesi yao inapewa umuhimu unaostahili.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo