MKONO WA ALBINO ULIONYOFOLEWA SUMBAWANGA WAPATIKANA

 MKuu wa Mkoa wa Rukwa , Stella Manyanya  wa tatu kulia  akibubujikwa na  machozi  jana usiku  baada ya  ya Kaimu Kamanda wa Polisi  Mkoa , Peter Ngusa (kulia)  akiwa  ameushikilia  mkono   ulionyofolewa hivi karibuni  kutoka kwa mwanamke mwenye ulemavu wa  ngozi (hayupo pichani) na kufukiwa  poroni kijijini Miangalua  wilayani Sumbawanga  akiuonesha hadharani  mbele  ya majengo ya  Hospitali ya Mkoa mjini hapa , watatu kushoto  ni Mganga Mkuu wa Mkoa , Dk John Gurisha

Mmoja wa askari  akifungua majani ya mgomba yaliyoufunga   mkono  ulionyofolewa hivi karibuni  kutoka kwa mwanamke mwenye ulemavu wa  ngozi (hayupo pichani) na kufukiwa  poroni kijijini Miangalua  wilayani Sumbawanga ambao akiuonesha hadharani  mbele  ya majengo ya  Hospitali ya Mkoa mjini hapa jana usiku jana Februari 14.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo