KIGOMA ALL STARS WALIVYONOGESHA USIKU WA VALENTANE NDANI YA VIA VIA CULTURAL CLUB ARUSHA

 Msanii ajulikanae kwa jina la Ally kiba akifanya mambo katika ukumbi wa viavia wakati wa sherehe za valentane day jijini Arusha

 mashabiki walihudhuria kibao katika shoo hii ya siku ya wapendanao wengine walitokelezea na red huku wakionekana kila mmoja akiwa na mpenzi wake shoo hii ilidhaminiwa na kituo kikubwa cha radio cha jijini hapa Kinachotikisa karibia tanzania nzima kituo cha Radio 5

 Ally kiba akifanya mambo yake
 hii ni meza ya baadhi ya wafanyakazi wa kituo cha radio 5 kilichoandaa na kuthamini shoo hii kwa ajili ya siku ya wapendanao wengine waniiita valentane day
 katika shoo hii kulikuwa na wasanii kibao ikiwa ni pamoja na mzee wa zamani zairi zoro  ambapo mara baada ya kumaliza shoo yake katika ukumbi wa palace hotel aliamia kumpa mtoto wake banana zoro sapoti ambapo alionekana ni mtu mwenyefuraha sana
 kikundi cha kontejazz kikifanya maambo wa mbele alieshika mc ni msanii jose ambaye ndio kiongozi wa kikundi hichi kinachotamba sana jijini hapa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo