MWANAFUNZI AMKATA KICHWA 'GIRLFRIEND' WAKE MARA BAADA YA KUFANYA NAYE MAPENZI

Tunaomba radhi mpenzi msomaji wa mtandao huu kwa kuwa picha hii inatisha, tumelazimika kuiweka ili kuonesha hali halisi
Mwanafunzi amkata girlfriend wake kichwa baada ya kufanya nae mapenzi
Imetokea kwenye jimbo la Niger, aliofanya unyama huo ni mwanafunz wa chuo cha Federal University of Mechnology Minna, anaitwa Godwin Edeko na ameshakamatwa na Niger state police, mtuhumiwa alijifungia ndani na msichana huyo kwa siku 3, majirani walisikia kelele,na jamaa akakimbia,majirani walivyoona kimya wakaingia ndani na wakamkuta msichana amekatwa kichwa,uchunguz zaidi unaendelea.
TAFAKARI, CHUKUA HATUA.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo