MATUKIO YA UPANDAJI MITI WILAYANI MAKETE KATIKA PICHA

Baadhi ya miti iliyopandwa siku ya leo


Mgeni rasmi akipanda mti wake

Afisa maliasili na mazingira wilaya ya Makete Uhuru Mwembe akipanda mti

Mwakilishi wa CHADEMA Makete akipanda mti

Mfuasi mwingine wa CHADEMA naye alipanda mti 

Mwakitalima kutoka shirika la SUMASESU akipanda mti wake

Mkurugenzi wa SUMASESU na Diwani wa kata ya Tandala Egnatio Mtawa akipanda mti

Mimi nami sikuwa nyuma kupanda mti

Wananchi wakiwa wametawanyika kupanda miti kwenye eneo hilo

Wanafunzi nao hawakuwa nyuma

Chanzo cha Maji cha Ng'wenyo ambapo pamepandwa miti hii leo

Maji yameonekana kupungua kwenye chanzo hicho


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo