Baadhi ya miti iliyopandwa siku ya leo
Mgeni rasmi akipanda mti wake
Afisa maliasili na mazingira wilaya ya Makete Uhuru Mwembe akipanda mti
Mwakilishi wa CHADEMA Makete akipanda mti
Mfuasi mwingine wa CHADEMA naye alipanda mti
Mwakitalima kutoka shirika la SUMASESU akipanda mti wake
Mkurugenzi wa SUMASESU na Diwani wa kata ya Tandala Egnatio Mtawa akipanda mti
Mimi nami sikuwa nyuma kupanda mti
Wananchi wakiwa wametawanyika kupanda miti kwenye eneo hilo
Wanafunzi nao hawakuwa nyuma
Chanzo cha Maji cha Ng'wenyo ambapo pamepandwa miti hii leo
Maji yameonekana kupungua kwenye chanzo hicho
