.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiendesha Kikao cha Muungano, kilichofanyika katika Ukumbi wa
Hoteli ya Zanzibar Beach Resort,
mjini Zanzibar leo, Januari 14, 2013. Wa pili (kushoto) ni Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda (wa pili (kulia) Ni
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi
Seif Ali Idd (kushoto) ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samiah Suluhu na (kulia) ni
Waziri wa
nchi Ofsi ya Makamu wa pili wa
Rais zanzibar, Mohamed Aboud.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiteta jambo na Makamu wa pili wa Rais, Zanzibar,
Balozi Seif Ali Idd, wakati Makamu alipokuwa akiendesha Kikao cha Muungano kilichofanyika
katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort, mjini Zanzibar leo, Januari 14, 2013.



Baadhi ya Mawaziri wakiwa ukumbini humo
wakati wakifuatilia kikao hicho cha Muumgano kilichoendeshwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, (hayupo pichani), leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar
Beach Resort, mjini Zanzibar.

Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais,
Sazi Salula (kulia) Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Eng. Ngosi Mwihava (katikati)
na Mkurugenzi wa Muungano, Rajab Baraka (kushoto) wakifuatilia vifungu katika machapisho ya kujadili
masuala ya Muungano, wakati wa kikao
cha
Muungano, kilichoendeshwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (hayupo
pichani), kilichofanyika leo Januari 14, 2013, katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach
Resort, mjini Zanzibar. Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais