Mh Lowassa alikuwa njiani kutoka dar es salaam kwenda morogoro na ndipo alipopata ajali gari yake ilipogongana na basi lililofahamika kwa jina moro linalofanya safari zake kati ya kilombrero na dar es salam.Mpaka tunaondoka eneo hilo hakuna mtu aliyepoteza maisha wala kujeruhiwa.
Gari ya waziri mkuu mstaafu ndiyo iliyoharibika kwa kuvunjika vioo