skip to main |
skip to sidebar
APIGWA RISASI, KISA SH.100 YA MAJI
MKAZI wa mtaa wa Tandika,Frank Filias (25) akiwa
amelazwa katika hospitali ya wilaya Temeke wodi namba saba baada ya
kupigiwa risasi na mfanyabiashara mmoja wa mbao kufuatia ugomvi wa
kudaiana Sh 100 ya maji ambayo mama yake mzazi, Sarah Mwaikatale
alidaiwa na jirani yake kuwa alishindwa kumlipa
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi