Afisa elimu mkoa wa Iringa Joseph Mwinyikambi akisoma majina ya
wanafunzi kumi bora
Katibu tawala wa mkoa wa Njombe Mgeni Buriani akihitimisha kikao hicho
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akichangia katika kikao
hicho leo mjini Njombe
Na Francis Godwin
Afisa elimu mkoa wa Iringa
Joseph Mwinyikambi leo
amewataja wanafunzi kumi bora kwa upande wa wasichana na wavulana
waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka huu mkoani Iringa.
Wengine ni Jestina sanga kutoka St Charles manispaa ya Iringa kwenda Mtwara
ufundi, Hadija Chivugo kutoka wilolesi Manispaa
ya Iringa kwenda Lugalo, Leilah Mng’agi kutoka mapinduzi manispaa ya Iringa
kwenda Kleruu na Oliver Laurent kutoka
kanani Njombe kwenda Kilakala.
Kwa upande wa wavulana ni
David Juma kutoka kanani
Njombe kwenda Ilboru , Evance Kisanga
kutoka Kibwabwa Iringa Mjini
kwenda Ilboru , Emmanuel Luvela
kutoka Kanani Njombe kwenda Mzumbe,
Edward Ngilangwa kutoka kanani Njombe
kwenda Kibaha na Fransisco Ngoda
kutoka Lupalamwa ‘A” Iringa vijijini kwenda Ilboru
Wengine ni Philemon
Lwaho kutoka Kibwabwa Manispaa ya Iringa
kwenda Mzumbe, na Dickson
Mdete
kutoka St Dominic Savio Iringa
mjini kwenda Kibaha ,Alfris Abdalah kutoka
Southern Highlands Mufindi kwenda
Ifunda ufundi , Antony Komba
kutoka Southern Highlands Mufindi
kwenda Mzumbe pamoja na Onorati
Nyakunga kutoka Ihanganatwa Mufindi
kwenda Ilboru .