JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia wahamiaji haramu 24
ambao walikuwa wakihifadhiwa katika nyumba ya mkazi mmoja jina
limehifadhiwa)katika kijiji cha Jipe wilayani Mwanga.
Akizungumza na wanahabari,kaimu kamanda wa polisi mkoani hapa
Costantine Maganga amesemawahamiaji hao waliingia nchini agusti 30
mwaka huu na kuhifadhiwa nyumbani kwa bw.YasinMrutu.
Amesema Raia hao wametokea nchini Ethiopia na kufika nchini kinyemela
kwa lengolakuelekea afrikaya kusini kwa kupitia nchini Zambia na
kuongeza kuwa juhudi za wananchi wa wilaya hiyo za kutoa taarifa kwa
jeshilapolisindizo zilizofanikisha kukamatwa kwa wahamiaji hao haramu.
Aidha amewataka wananchi hao kuendelea kushirikiana na jeshi hilo
ilikusaidia na kufanikisha utendaji kazi wa jeshi hilo ambalo kwa
kiasi kikubwa limekuwa likifanya kazi kwa karibu kabisa na wanajamii..
Naye kaimu kamishna wa uhamiaji wilayani mwanga na same Fustus Selele
amesema wimbi lawahamiaji haramu limezidi kuongezeka kutokanana
mtandao uliopo sanjari na watanzania kujiingiza kwenye biashara hiyo.
ambao walikuwa wakihifadhiwa katika nyumba ya mkazi mmoja jina
limehifadhiwa)katika kijiji cha Jipe wilayani Mwanga.
Akizungumza na wanahabari,kaimu kamanda wa polisi mkoani hapa
Costantine Maganga amesemawahamiaji hao waliingia nchini agusti 30
mwaka huu na kuhifadhiwa nyumbani kwa bw.YasinMrutu.
Amesema Raia hao wametokea nchini Ethiopia na kufika nchini kinyemela
kwa lengolakuelekea afrikaya kusini kwa kupitia nchini Zambia na
kuongeza kuwa juhudi za wananchi wa wilaya hiyo za kutoa taarifa kwa
jeshilapolisindizo zilizofanikisha kukamatwa kwa wahamiaji hao haramu.
Aidha amewataka wananchi hao kuendelea kushirikiana na jeshi hilo
ilikusaidia na kufanikisha utendaji kazi wa jeshi hilo ambalo kwa
kiasi kikubwa limekuwa likifanya kazi kwa karibu kabisa na wanajamii..
Naye kaimu kamishna wa uhamiaji wilayani mwanga na same Fustus Selele
amesema wimbi lawahamiaji haramu limezidi kuongezeka kutokanana
mtandao uliopo sanjari na watanzania kujiingiza kwenye biashara hiyo.
