MWANAFUNZI wa shule ya msingi Mkapa, Matayo John (9) iliyopo
wilayani Same mkoani kilimanjaro, amefariki dunia baada ya kushika mota
iliyokuwa imewashwa kwa ajili ya kupandisha maji ya kisima.
Kamanda wa polisi mkoani hapa Robert Boaz,amethibitisha kutokea kwa
tukio hilo na kwamba lilitokea august 29 mwaka huu majira ya 11:30 wilaya humo wakati mtoto huyo akicheza na wenzake.
Kamanda alisema mtoto huyo aligusa mita ya kupandishia maji ya kimasima ambayo ilikuwa imewashwa na kufariki kwa kupigwa shoti ya umeme
Boaz alisema mota hiyo ilikuwa nyumbani kwa Rajabu Abdala ambapo marehemu huyo alikuwa akicheza maeneo hayo akiwa na wanzake.
iliyokuwa imewashwa kwa ajili ya kupandisha maji ya kisima.
Kamanda wa polisi mkoani hapa Robert Boaz,amethibitisha kutokea kwa
tukio hilo na kwamba lilitokea august 29 mwaka huu majira ya 11:30 wilaya humo wakati mtoto huyo akicheza na wenzake.
Kamanda alisema mtoto huyo aligusa mita ya kupandishia maji ya kimasima ambayo ilikuwa imewashwa na kufariki kwa kupigwa shoti ya umeme
Boaz alisema mota hiyo ilikuwa nyumbani kwa Rajabu Abdala ambapo marehemu huyo alikuwa akicheza maeneo hayo akiwa na wanzake.
Kamanda amewataka wazazi na walezi kuangalia watoto wao wakati wanatumia vitu vinavyoweza kuhatarisha maisha yao ili kuweza kuepusha vifo visivyo vya lazima kwa watoto.
